logo logo

Secretary General, DOWUTA
P.O.Box 7262
Pemba street near National Stadium Temeke
Dar es Salaam Tanzania
info@dowuta.or.tz



ZIARA YA KIMICHEZO MKOANI TANGA KWA AJILI YA KUWAAGA VIONGOZI WA MICHEZO WANAOTARAJIA KUSTAAFU

Published 2025-07-04 03:20:06

Wanamichezo kutoka Bandari ya Dar es salaam,Makao Makuu,Mtwara,TEAGTL na DP-WORLD wamefanya ziara ya  ujirani mwema ya  kimichezo yenye lengo hususa la kuwaaga viongozi wake wanaotarajia kustaafu.

Viongozi hao ambao ni Hassan Ahmed Mohamedy pamoja na Kennedy Mwaisabula "Mzazi"

Sambamba na ziara hiyo ambayo ilikua na baraka kutoka kwa Mkuu wa Bandari ya Tanga,kulikuwa na wasaha mzuri sana wa kupata neno la shukrani kutoka kwa Mwenyekiti wa DOWUTA TAIFA komredi Mharami Manyara.

Latest news
MOJA KATI YA VIVUTIO…

Published 2025-08-18 08:21:10

banner
ZIARA YA WAFANYAKAZI BORA…

Published 2025-08-18 08:08:53

banner
MOJA KATI YA MAENEO…

Published 2025-08-18 07:49:50

banner
ZIARA YA VIONGOZI WA…

Published 2025-08-18 07:11:00

banner
MENEJIMENTI NA CHAMA CHA…

Published 2025-08-01 15:29:36

banner